BREAKING NEWS

Download

Friday, October 19, 2012

Brrand New Track : Gentriez ft Ailer-Bembeleza (Fnouk Studios Sam Timber)

Kutoka Wanene Entertainment Rapper Gentriez Mwakitabu Aaachia Ngoma Yake Mpya Aliyomshirikisha Msanii Kutoka Arusha AILER ambayo Ni Ngoma Baada ya Zilizopita ikiwemo Arusha Boy, Baki Na Mimi Na Nakila sababu aliomshirikisha Nigger C

TAMADUNI CYPHER : DUBO JESUS SON V/S TRIPLE D round 1

Hivi Karibuni kutoka Jikoni ..BLACK WA USWAZI ARUDI

Baada ya Kimya Kirefu ,moja kati ya Rapper wakali waliowahi kutikisa Media za Bongo na Industry ya muziki kiujumla ,anarudi na ujio wa ngoma kali baada ya hit kadhaa za kwake kama ...MAMA ,SEMA OOH ,Na ya MWISHO aliomshirikisha Domokaya
Ameamua Kuingia Jikoni pale BONGO RECORDS Na amefanya ngoma Mpya inaitwa USIGUSE ambayo amemshirikisHa AVELI kutoka cAPITAL lETAZ Na P FUNK Ambaye ndie Producer wa Ngoma Hio...na Ameweka Wazi Kua ataachia AUDIO NA VIDEO Kwa Wakati Mmoja. Endelea Kutembelea bLOG HII ambayo itakuletea Official Release ya Ngoma HIO Ambayo inatazamiwa kusumbua media tz. www.vivaconscious.tk

Brand New Video : Ivani - Lonely Official Video) Visualized by Hanscana dE Lavenche


Artist..IVANI
song...LONELY
Studio..DEFATALITY
Producer..MESEN SELEKTA
D.o.p...SAGE and SHAN
FINAL VIDEOS
Vissualized by.. HANSCANA dE LAVENCHE
      Contact
IVAN +255 659 430 461
Hanscana +255 717 652 500

Jinsi Ya Kununua Callertune Ya Chukua Time Ya Suma Manazareti

Kupata Wimbo wa Chukua Time wa Suma Mnazareti akimshirikisha OMMY Dimpoz kama Muito kwa Akupigiae yaani Caller Tune kwenye Simu Yako Andika 21157 Kisha Tuma kwenda Namba 15007 ..onyesha Sapoti yako

Kundi la Tanchy(Chibwa na Tanah) kufanya Video ya summer time Nchini Marekani

Kundi La Tanchy linaloundwa na Wasanii waili ..Chibwa Na Tanah wapo katika Maandalizi Ya Mwisho kuelekea Nchini Marekani kufanya Video ya wimbo wao wa Summer time riddim ambao ulifanywa Na Producer Mdogo Mesen selekta wa De Fatality Studios.. Viva Arts Iliongea Na Chibwa Na Kupata uhakiaka wa Habari hio na Kwamba Video Itafanywa Marekani..Na Kuwaomba mashabiki wake kuwa waendelee ku request na Kupakua kila siku nyimbo katika Mtandao .. Kwa Wale ambao hawa kuipata Audio ya ngoma hio unaweza ipakua hapa ENJOY

Dj Drama Ataka T.I alimalize Beef la Rick Rosss na Young Jeezy

Dj Drama Mmoja wa Ma Dj wakali State amesema anaona T.I ndie Mtu yeye angependa amuone akimaliza Beef inayoendelea hivi sasa kati ya Rick Ross na Young Jeezy na anafikiri T.I NI Mtu Pekee anaeweza Kufanikisha Hilo Ilionekana kila mtu akitoa maoni yake kuhusu beef hio ya Young Jeezy na rick ross na wakiona vema ikitokea wakfanya Ngoma /nyimbo Pamoja na Beef Hilo kuisha, na mmoja wa watu aliekuwa katikati yao siku ya ugomvi Backstage ya mtv alikua dj drama na ndie alikua mtu wa kwanza u report ugomvi huo pindi umeanza kutokea. Binafsi Drama anaomba mwisho wa msuguano kati ya Rozay na Snowman na kumtaka T.I Kujaribu kuwaweka sawa. Katika Interview na Mtandao wa This is 50.com ,drama alisema " Naelewa wawili hawa hawawezi kukaa Pamoja lakini Nafikiria kuwaunganisha na kufanya Kazi moja wote wawili wakiwemo, Labda Rozay na Jeezy hawatokua marafiki tena , labda hawatoweza pata Dinner pamoja tena Lakini naamini Tutapata muziki mzuri kutoka kwa collaboration Yao wawili Japokua ,T.I katika moja ya Nyimbo zake alinukuliwa akisema Hajali bifu yoyote kati ya Roozay ,jeezy na Gucci Manne.drama anatumaini kutoka kwangu labda ntafanikisha lakini hii ishakua wazi mbele ya jamii labda mtu mwingine aingilie hii, lada marafiki zao wanaweza kuwaweka sawa pamoja. Kwa kudhihirisha kua ni Mfalme wa South , nina Mengi ya Muhimu ya kuangalia,drama bado anawaza jinsi ya Kuwahoji vizuri na kuamini atalimaliza Beef hili. Naweza Sema Ni wazo zuri la kwanza kutoka kwake kwa hio nitalifanyan hivyo kama yeye anavyopenda nifanye katika beef hili kwa sababu nawaheshimu wote watatu." http://www.hotnewhiphop.com/dj-drama-talks-t-i-ending-ross-and-jeezy-beef-video.7640.html
 
Back To Top
Copyright © 2014 Kato Kumbi. Designed by OddThemes