BREAKING NEWS

Download

Friday, October 19, 2012

Hivi Karibuni kutoka Jikoni ..BLACK WA USWAZI ARUDI

Baada ya Kimya Kirefu ,moja kati ya Rapper wakali waliowahi kutikisa Media za Bongo na Industry ya muziki kiujumla ,anarudi na ujio wa ngoma kali baada ya hit kadhaa za kwake kama ...MAMA ,SEMA OOH ,Na ya MWISHO aliomshirikisha Domokaya
Ameamua Kuingia Jikoni pale BONGO RECORDS Na amefanya ngoma Mpya inaitwa USIGUSE ambayo amemshirikisHa AVELI kutoka cAPITAL lETAZ Na P FUNK Ambaye ndie Producer wa Ngoma Hio...na Ameweka Wazi Kua ataachia AUDIO NA VIDEO Kwa Wakati Mmoja. Endelea Kutembelea bLOG HII ambayo itakuletea Official Release ya Ngoma HIO Ambayo inatazamiwa kusumbua media tz. www.vivaconscious.tk

Share this:

Post a Comment

 
Back To Top
Copyright © 2014 Kato Kumbi. Designed by OddThemes