Friday, January 25, 2013
Coming Soon On Tuesday : Country Boy ft T.I.D-My Time Produced By Mesen Selekta
Jumanne Hii ya Tarehe 29 mwezi wa Kwanza kutakua na Uzinduzi wa Single Mpya ya
Country Boy Ama Anajiita Profitable Artist kutoka RADAR ENTERTAINMENT Ambayo ameifanya Chini ya De Fatality Music ambayo Imesimamiwa na MESEN SELEKTA..
Ndani yake kuna kichwa T.I.D Mnyama. C.E.O Wa TOP BAND
LOCATION ni MaISHa CLub VIP Kiingilio ni TSH 5000..Don Miss hii kituuu
Pia Kutakua na Live Band Perfomance Kutoka kwa TOP BAND Ikiongozwa na Mnyama T.I.D
Pia Kutakua na Live Band Perfomance Kutoka kwa TOP BAND Ikiongozwa na Mnyama T.I.D
Coming Music : Gentriez Mwakitabu ft Nako2Nako-Uchawi Hautuingii Prod.Wanene Entertainment & Noiz Mekah (Darsh +Dx)
Raundi Hii Amekuwa Msanii Pekee wa kwanza kufanya Ngoma na Nako2Nako Yote namaanisha Baada ya N2N Kurudiana wote including Ibra da Hustler Ngoma inaitwa UCHAWI HAUTUINGII ...Je Madini Gani yapo humo ndani ..Be Intouch na Web Hii Kupata mengi .Sikiliza kazi za Gentriez Hapa
Cheki Video yake ya Mwanzo Mwisho Hapa
Subscribe to:
Posts
(
Atom
)