BREAKING NEWS

Download

Friday, January 25, 2013

Coming Music : Gentriez Mwakitabu ft Nako2Nako-Uchawi Hautuingii Prod.Wanene Entertainment & Noiz Mekah (Darsh +Dx)

Gentriez Mwakitabu Rapper kutoka River Camp soldiers ambaye anafanya vizuri sana hapa Tanzania kwa sasa ,ambaye amashafanya Vibao vingi kama Arusha boy ,Mwanzo Mwisho , Na Bembeleza ..ambavyo vinafanya poa katika media za TZ ..
Raundi Hii Amekuwa Msanii Pekee wa kwanza kufanya Ngoma na Nako2Nako Yote namaanisha Baada ya N2N Kurudiana wote including Ibra da Hustler  Ngoma inaitwa UCHAWI HAUTUINGII ...Je Madini Gani yapo humo ndani ..Be Intouch na Web Hii Kupata mengi .Sikiliza kazi za Gentriez Hapa
Cheki Video yake ya Mwanzo Mwisho Hapa

Share this:

Post a Comment

 
Back To Top
Copyright © 2014 Kato Kumbi. Designed by OddThemes