BREAKING NEWS

Download

Tuesday, September 7, 2010

kala Jere100


http://www.teentz.com/video/kala-jeremiah-ft-bigtym

Marcochalli aongea na 255 Baada ya kimya cha muda mrefu


Mtaarishaji wa Muziki katika studio za MJ Records Marcochalli muda si mrefu uliopita amezungumza na 255, ambapo tulitaka kufahamu juu ya Album ya Mtindo wa House aliyokuwa akiitenegeneza imeishia wapi, na vile vile 255 ilitaka kufahamu kinachoendelea kwa wakati huu pande ndani ya MJ RECORDS, Marcochalli: Kuna ngoma nilizimaliza kama ya kwangu na remix ya Problem ya mtu mzima C-Pwa na ngoma flani ya Shaa, lakini kuna ngoma tatu zimefutika Studio so hiyo imenirudisha nyuma kidogo, ila beat za ngoma hizo ninazo so itabidi vocal zirudiwe tena.

255: Ok, pole bradha... kuna kitu gani kingine kinaendelea?

Marcochalli: sasa hivi kuna ngoma mpya ya C Pwa ft Ngwair na Dully Sykes, Godzilla yupo katika miapango ya kufanya viddeo ya ngoma mpya, Izzo Business anamalizia Album yake, Shaa anamalizia Album yake pia, Funs wa Mj Records wasihofu kuna vitu vingi vinakuja kwa ajili kabla kumaliza mwaka.

BAADA YA KUTENGENEZA MKWANJA MREFU GODZILLA AAMUA KUWASAIDIA WASANII WACHANGA



Rapper Godzilla a.k.a The Sala sala President ameamua kuanzisha Label yake na kuipa jina la Godzilla Inc, Alipozungumza na 255 Godzilla amesema kuwa hatua hiyo inatokana na kupiga mkwanja mrefu(milioni tano) wakati wa Tour zake alizofanya kuanzia mwezi wa kwanza mwaka huu mpaka mwezi wa nane 2010, lakini pia sababu nyingine ni kutokana na kuona vipaji vingi vikizagaa mtaani na kupotea kabisa hali ambayo inahatarisha Game ya bongo flava siku za Usoni.

Zilla anasema anaendelea kupokea wasanii wanao weza game na hana idadi maalium anachotaka yeye ni kusaidia vipaji vipya. Tayari Godzilla Inc imeshaanza kufanya kazi na wasanii wawili ambao wamerekodi katika studio tofauti za jijini Dar es salaam.

Kwa hiyo kama wewe unajiamini ni mkali na bado haujatoka, mcheki Godzilla pande za salasala atakuskiliza na kukupa Yes Or No, ukipata Yes basi ndo safari yako ya kimuziki itakua imeanza vizuri kabisa.

Askari achunguzwa kwa kumpendelea Wayne garezani


Mlinzi katika Gereza la Rikers huenda akawajibishwa kutokana na kumpa huduma za upendeleo Super mfungwa katika gereza hilo, Rapper Lil Wayne.Uongozi wa Gereza hilo umeanzisha Uchunguzi dhidi ya Captain Brown baada ya kupokea malamiko kuwa mlinzi huyo anaspend extra time na Lil wayne.
Gazeti la New York Post linaripoti kuwa Captain Brown alikua akimruhusu Wayne kukaa kwenye Cell yake wakati wafungwa wenzake wakiwa wameamriwa kwenda Recreation Yard(kufanya shughuli nyingine)

Mlinzi alisahau kuwa wafungwa wote wanapokua gerezani wanakua ni sawa. Mapema mwezi wa nne mwaka huu, mwezi mmoja tu baada ya Wayne kuingia katika gereza hilo, Amelia Negron mlinzi katika gereza hilo, alifukuzwa kazi kutokana na kumspy Wayne kinyume cha sheria.

Lakini hii si mara ya kwanza kwa Walinzi wa gereza hilo kukutikana na hatia ya kuwapendelea Masuper Star wanaofungwa katika gereza hilo, Mwaka 2009 kuna ripoti ya uchunguzi ilithibitisha kuwa Foxy Brown alikua akipata huduma za upendeleo wakati akitumikia kifungo cha miezi tisa katika gereza la Rikers mwaka 2006.

Inasemekana foxy Brown alikua akipata huduma za kutumia simu na kuwatch Tv bila ukomo, alikua akipata Make up, Nguo za gharama na chakula kutoka nje

October 2009 muhusika yaani mlinzi huyo aliresign kuokana na Scandal hiyo.

50 Cent, Perez Hilton Go Head-To-Head In Twitter Beef



Rapper 50 Cent continues to shake up the "Twitterverse" with a series of tweets today that drew the scorn of celebrity blogger, Perez Hilton.

The rap star took to his Twitter page today (September 6th) and took aim at Perez Hilton, who labeled 50 Cent a "douche bag" in a tweet.

Today, 50 Cent addressed the issue when he jokingly tweeted that he had a friend shoot up a gay wedding, along with a link to a picture of people fleeing a tragic scene.

Hilton immediately noticed the tweets and replied.

"50 Cent joking about violence towards gays is about as expired as the days when he used to be musically relevant," Perez Hilton tweeted.

50 replied that he wasn't scared of the "pink mafia," an alleged underground powerful group of gay Hollywood movers and shakers.

The rapper posted another link to a man on a subway doing a split with the quotation: "You're dead 50! Dead! We are looking for your ass!"

50 Cent then urged Hilton to calm down.

"Stop being so sensitive its a joke," 50 Cent tweeted. "Your acting like a big baby have a nice day…And my next song will make your sweet ass dance lol chill out."

Perez Hilton insinuated that 50 Cent might be a homosexual, accusations that were also levied at the rapper by openly gay singer, Rufus Wainwright in an April issue of Details magazine.

"50 Cent joking about my sweet ass confirms my suspicions about 50 Cent. And scene!"

50 Cent and Perez Hilton have a combined total of 5,514,142 followers.
 
Back To Top
Copyright © 2014 Kato Kumbi. Designed by OddThemes