BREAKING NEWS

Download

Wednesday, July 21, 2010

One the Incredible KinG oF mSeWE


Watu wengi walikuwa wananiuliza yule mshkaji anayeitwa One ameimba wimbo wa Incredible mbona hatumjui, jana bahati nzuri nilikutana nae maeneo ya Mzalendo Pub na tukapiga story nyingi tu kuhusiana na projct zake.
Sasa jamaa mwenyewe ndio huyo hapo kwenye picha, ni msanii wa bongo anayeimba Hip Hop iliyokwenda xcul na anafanya vizuri kwa kweli.

Friday, July 16, 2010

Lil Wayne Writing "Amazing" Lyrics In Prison


Rapper Lil’ Wayne recently wrote to fans from jail and described his life behind bars on Rikers Island.

"I wake up around 11 a.m. Have some coffee. Call my kids, and my wonderful mother. I then shower up. Read fan mail," Lil Wayne wrote in a letter posted on weezythanxyou.com.

After that, the hip-hop star has lunch, gets back on the phone, reads a book or jots down his thoughts.

After dinner, he makes one more trip to the phone and does some pushups.

"Then I listen to ESPN on the radio. Read the bible, then sleep. That's my day," he wrote.

The 27-year-old rapper, whose real name is Dwayne Carter, is serving a one-year sentence for having a loaded gun on his tour bus in New York City after a concert July 22, 2007.

Cops who boarded Lil Wayne's tour bus said they saw him toss the .40-caliber Springfield Armory semiautomatic handgun into a Louis Vuitton knapsack.

There was no question the knapsack was his, cops said -- it had his stuff in it, including a prescription bearing the name Dwayne Carter.

Wayne also said that he had been listening to the radio a that he is still diligently working on his lyrics.

“I’ve been writing and let me be the first to tell you that the lyrics that I’m writing are… well there’s no word that I can think of that properly defines them,” Lil Wayne wrote. “Amazing would be too typical and perfect would be unfair. I listen to the radio sometimes, emphasis on sometimes, and I hear the new music. I like some.”

In addition, Wayne congratulated his fellow Young Money counterparts on their recent success.

“I applaud my Young Money family for what they’re doing… this is what we’re supposed to do. Congrats to Drake and Nicki for all their recent success. Those 2 are going to have me retiring early,” Wayne confessed. “I love my team.”

According to reports, Lil Wayne will be released from prison in November.

Mwakyusa: Tumshukurmu Mungu kwa dawa ya ukimwi


WAKATI wanasayansi waliogundua dawa ya Ukimwi wakiweka bayana jinsi inavyofanya kazi mwili kupambana na ugonjwa huo, Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Profesa David Mwakyusa amemshukuru Mungu kwa taarifa za ugunduzi wa dawa hiyo.Taarifa ya kupatikana kwa dawa hiyo zilitangazwa mwishoni mwa wiki na wanasayansi wa Taasisi ya Magonjwa ya Kuambukiza na Mzio (Niaida) ya Marekani, akisema kuwa tiba hiyo inaweza kutibu ugonjwa huo hatari kwa asilimia 90, kiwango kinachoiweka dawa hiyo kwenye uwezekano mkubwa wa kupitishwa na Shirika la Afya Duniani (WHO) na hivyo kuanza kutumika rasmi.

Dawa hiyo huchochea mwili na kuuongoza katika kujitengenezea aina ya chembechembe za kinga zenye uwezo wa kukabili virusi vya ukimwi. Chembechembe hizo zimepewa jina la kitaalamu la VRCO1 na VRCO2 ambazo utafiti wake umeonyesha kuwa zinaweza kuvikabili virusi vya Ukimwi kwa asilimia 90.

Habari hizo, ambazo zimekuwa gumzo duniani kote, zilimfurahisha pia Waziri Mwakyusa, wakati wasomaji wa Mwananchi walikuwa wakituma maoni yao kuzungumzia matokeo ya utafiti wa dawa hiyo, wengi wakifurahia kuwa sasa "wamewekwa huru".

Akizungumza na Mwananchi, Prof Mwakyusa alisema: "Serikali imekuwa ikifanya juhudi mbalimbali katika kuhakikisha kwamba wananchi wake wanapata huduma za tiba hata kama ni ghali kiasi gani.

"Kama ni kweli dawa hiyo imepatikana, ni jambo la kumshukuru Mungu kwa kuwa Ukimwi ni ugonjwa ambao umeiathiri sana dunia."

Alisema serikali imekuwa ikitumia mamilioni ya fedha kupambana na ugonjwa huo na hivyo kuwezesha dawa nyingi ghali duniani zinazopunguza makali ya ugonjwa huo na kutibu magonjwa sugu kutolewa bure kwa wananchi.

Alitoa mfano wa dawa hizo kuwa ni zile za kutibu malaria maarufu kwa jina la Alu, dawa za kutibu kifua kikuu na zile za kupunguza makali ya ukimwi.

"Na hata kama hizo za kutibu ukimwi zitakuwa zimepatikana, bado mataifa makubwa yana wajibu wa kuhakikisha zinaweza kuwafikia kirahisi watu katika nchi masikini," alisema Profesa Mwakyusa.

Kwenye chumba cha habari cha Mwananchi, wasomaji walikuwa wakipiga simu kuelezea kufurahishwa na taarifa hiyo huku wengine wakitoa maoni yao kwenye mtandao, wengi wakisifu matokeo ya utafiti huo na wengine wakisema kuwa bado kuna safari ndefu.

Nchini Marekani, wanasayansi wa Niaida waliweka bayana namna dawa hiyo inavyoweza kufanya kazi katika mwili wa binadamu wakati wa kupambana na ugonjwa huo hatari.

Niaida imetoa taarifa hiyo kufuatia taarifa iliyotangazwa wiki iliyopita kwamba wamegundua chembechembe za kinga ambazo zinaweza kutumika kutibu ugonjwa wa ukimwi kwa asilimia 90.

Mkurugenzi wa Niaida, Dk Anthony Fauci alisema katika taarifa kwenye mtandao wa taasisi hiyo kwamba dawa waliyoigundua siyo ya kwenda kuua moja kwa moja virusi vya Ukimwi kwenye mwili wa binadamu, bali ni kuchochea mwili na kuuongoza katika kujitengenezea aina ya chembechembe za kinga zenye uwezo wa kukabili virusi vya ukimwi.

Dk Fauci alisema kuwa chembechembe hizo, VRCO1 na VRCO2, zinapambana tu na virusi vya Ukimwi jambo ambalo linawapa faraja kuwa chembechembe hizo haziwezi kusababisha madhara kwa mwili wa binadamu.

Mtaalamu huyo alieleza kwamba kinachofanywa na chembechembe za kinga za VRCO1 na VRCO2 kwenye mwilini binadamu, ni kuvibana virusi vya Ukimwi na kuvifanya vishindwe kuendelea kushambulia seli nyeupe za damu.

Kwa kawaida virusi vya Ukimwi hushambulia seli nyeupe za damu ambazo ni muhimu katika kusaidia mwili kujikinga na maradhi ama kwa jina jingine la kitaalamu CD4, ambako virusi vya Ukimwi hugeuza kuwa makazi yake.

Kila seli nyeupe inayoshambuliwa, wataalamu wanasema, hufa baada ya kutumika kuzalisha virusi wengine na mzunguko huo huendelea hadi mwili unapojikuta umepungukiwa na kinga kiasi cha kushindwa kuhimili vishindo vya maradhi ya kawaida.

Wataalamu wanasema hali hiyo ndiyo inayomfanya mwathirika wa Ukimwi kufa.

Dk Fauci alisema Chembechembe za VRCO1 na VRCO2 hubana mashambulizi ya virusi vya Ukimwi kiasi cha kushindwa kuendelea na uharibifu wa CD4.

Kwa sababu hiyo, alisema dawa watakayoitoa katika hatua ya kwanza kupitia chanjo ni kwa ajili ya kuufundisha mwili namna ya kutengeneza chembechembe za VRCO1 na VRCO2 ambazo zitakabiliana na virusi wa ukimwi.

"Kwa kutumia teknolojia tuliyogundua tutatengeneza aina ya chanjo ambayo kazi yake itakuwa ni kuufundisha mwili namna ya kutengeneza chembechembe za kinga aina ya VRCO1 ambazo zitakuwa na uwezo wa kupambana na virusi vya ukimwi," alisema Dk Fauci.

Wanasayansi wa Niaida walioshiriki kwenye utafiti huo ni Dk Peter Kwong, Dk John Mascola na Dk Gary Nabel.

Wataalamu hao wanaelezewa kuwa waliongoza timu mbili ambazo ziliendesha utafiti huo ambao ulihusisha damu za waathirika kutoka karibu kona zote za dunia.

“Tulitumia utaalamu wetu kujenga mazingira yote ya virusi wa Ukimwi na ndio tukaweza kufahamu namna ya kujenga mazingira ya kudhibiti virusi hivyo," alisema mmoja wa wajumbe wa jopo la madaktari hao waandamizi, Dk Nabel.

Aliongeza: "Haikuwa kazi rahisi kwa sababu virusi vya Ukimwi vina tabia ya kujibadilishabadilisha. Na hii ndiyo imekuwa ikiwapa taabu wataalamu wengi katika kupata tiba.

"Kujibadilishabadilisha huko kumefanya dunia kuwa na aina mbalimbali za virusi. Utafiti wetu umewezesha kutengeneza mazingira ya kukabiliana na namna zote za virusi kuweza kujigeuzageuza."

Isitoshe Dk Nabel alisema chembechembe za kinga za VRC01 na VCR02 zina uwezo wa kupenya mazingira yote ambayo CD4 za mwili zinaweza kupatikana.

Dr Mascola yeye alielezea ufanyakazi wa VCR01 na VCR02 kuwa ni wa ajabu kwa sababu zinapambana na aina zote za utendaji wa virusi vya Ukimwi.

Wataalamu hao walisema VRC01 na VRC02 haviingilii itendaji kazi wa seli kwa namna yoyote ile bali kukabiliana na harakati za virusi vya ukimwi.
Dk Faci alisema haya ni maendeleo mazuri katika kipindi hiki ambacho waathirika wa Ukimwi wamekuwa wakitumia tu dawa za kutuliza makali ya virusi.

Maelezo ya wataalamu ni kwamba anayetumia dawa za kupunguza makali ya virusi vya Ukimwi atatumia maisha yake yote na huwa hazitibu.
Lakini katika ugunduzi wa dawa yao, Dk Fauci alisema binadamu atapatiwa chanjo hiyo kwa mara moja na itatosha kabisa kuuweka mwili wake katika kuandaa majeshi ambayo yatakabiliana na virusi.

Tayari baadhi ya wataalamu wamekiri kuwa ugunduzi huo wa Niaida umeleta mapambazuko ya tiba ya ugonjwa huo na mojawapo ni Mamlaka ya Chakula na Dawa Marekani ambayo imesema kuwa dawa hiyo haitakuwa na madhara yoyote kwa binadamu.

Dk fauci amewahi kuongoza Taasisi ya Taifa ya Afya (NIH) ya Marekani kuanzia mwaka 1968 na kuaniza 1974 aliteuliwa kuongoza vitengo mbalimbali maalumu vya tiba nchini humo.

Aliteuliwa kuwa mkuu wa kitengo cha utafiti wa tiba cha Niaida mwaka 1980 na mwaka 1984 akateuliwa kuwa mkurugenzi wa taasisi hiyo, nafasi ambayo anaishikilia hadi sasa.

Thursday, July 15, 2010

Izzo Mashairi


ebana mchiz ambae anatoka mbeya city nw aliyehit na ngoma kama MI NDO KAKA,BIZNES na Tenzi za mapenz na Caniball Huyu apaaaaaaa

wakali jukwaani fid & Jcb


arusha oooi kama vp ukicjia paaaaah

Imekaribia io ya darrrrrrrrr cpimi


firsta raaaaaaaaaaaa

ilikua hivi legendaries fiesta Arusha


mchizi Joh akiwa General Jcb Pande za Arusha ikiwa Ni fiesta 2010

Jay-Z Teams With Alicia Keys To Raise HIV/AIDS Awareness


Rapper Jay-Z will headline Alicia Keys’ annual Black Ball charity event this September at the Hammerstein Ballroom in New York.

Jay-Z will be joined by Alicia Keys and Sade during the event, which will raise funds for Keys’ charity Keep A Child Alive.

The organization has been holding the Black Ball fundraiser since 2005.

The charity event has raised over $10 million dollars since its inception.

Keep a Child Alive is a non-profit dedicated to providing life-saving anti-retroviral treatment, care and support services to children and families whose lives have been affected by HIV/AIDS in Africa and India.

DMX’S Wife Prepares Book, Finds Author


DMX’s wife Tahera Simmons is preparing the release of her book about life with the megastar and has found her co-author.

Tashera enlisted Aliya S. King, an author that has written books for “American Gangster” Frank Lucas and Faith Evans. King also recently released a book called “Platinum” which chronicles the lives of rappers and their wives.

One character in the book resembles Tashera. “I’m all up in there (the book),” Tashera joked with King at an book release party on Monday.

“When I first met Aliya, I was in a state where I was trapped and she was the first person that kind of opened me up. She started asking me questions about what it was like to be in the light of a super star, rap star.”

King wrote a story for VIBE magazine that chronicled the lives of Hip-Hop artists’ wives and it provided the ground work for the book.

Tashera Simmons said that King later came to her with the book and told her it was a fictitious tale that mirrored the real life accounts of these women and their men.

That is when the pair decided to join forces.

“I told her I am working on my book, “Strength of a Woman” and she told me to read (“Platinum”) and tell me what you think. It touched me. She’s writing my book now."

"Strength of a Woman" does not have a release date.

DMX was released from an Arizona prison facility July 6, 2010 after serving four out of six months for violating drug probation. He has already started working with Swizz Beatz on new music
 
Back To Top
Copyright © 2014 Kato Kumbi. Designed by OddThemes