BREAKING NEWS

Download

Friday, September 6, 2013

Hussein Machozi afunga ndoa kimya kimya na Msichana Wa Kenya

Idadi ya wasaniiwa bongo fleva wanao vuta majiko (kuoa) inazidi kuongezeka. na safari hii aliyeamua kuoa ni hit maker wa ''kwa ajiliyako'' Hussein Rashid Maaruf kama hussein machozi  Ambaye (Agust 28) Amefunga pingu za maisha na shu yunus omar raia wa kenya.
Kupitia kurasa zao za facebook wote wawili hussein machozi na mkewe shu yunus. Wamebadilisha status zao kutoka 'In relationship' na kua 'married'  huku mkewe akielezea furaha yake kuwa mke wa star huyo kutoka manyoni singida
 Hizi ni Baadhi ya picha za SHU YUNUS





Share this:

Post a Comment

 
Back To Top
Copyright © 2014 Kato Kumbi. Designed by OddThemes