BREAKING NEWS

Download

Sunday, September 30, 2012

Msanii Kutoka Mtanashati Entertainment Alazwa Kufanyiwa Upasuaji wa Tumbo

Msanii Kutoka Mtanashati entertainment Happy Balice Alazwa Hospitali ya Nico iliyopo Mitaa ya Sinza,makaburini..kutokana na kusumbuliwa na uvimbe tumboni.Nimepata Taarifa kutoka kwa Bosi wa Kampuni hio Ustadhi Juma Kwamba gharama zote za Matibabu Zimeshughulikiwa na Mtanashati entertainment...Na Mpaka atakapo pona atashughulikiwa kwa gharama za Mtanashati ENtertainment.. Mungu akurudishe katika hali ya kawaida .
 
Back To Top
Copyright © 2014 Kato Kumbi. Designed by OddThemes