BREAKING NEWS

Download

Saturday, September 4, 2010

"Takers" yashika nafasi ya pili kwa mauzo Box Office


Movie ya Takers imeingiza dola milioni 21 katika duka maarufu la filamu la BOX OFFICE, na imeshika nafasi ya pili ikiongozwa na filamu ya The Last Exorcism. Katika Action movie hiyo starring ni T.I, Chriss Brown, Idris Elba, imeshika nafasi ya pili kwa mauzo weekend iliyopita, muda mfupi tu baada ya kutoka.

The Washington Post linaripoti kuwa, Takers imeshindwa kwa point chache na movie ya kutisha ya The Last Exorcism ambayo imengiza dola milioni 21.3 wakati Takers imeingiza dola milioni 21 kamili.

Mafaniio hayo ya Takers yata boost mapato ya mwaka ya T.I ambayo yamefikia dola milioni 9, katika Movie hiyo T.I ni mhusika mkuu pia ameshiriki kwenye kuproduce.

Takers na The Last Exorcism, nzilifuatiwa na Movie nyingine kali inayoitwa The Expendables ambayo imengiza kiasi cha dola milioni tisa katika duka Box Office.

Share this:

Post a Comment

 
Back To Top
Copyright © 2014 Kato Kumbi. Designed by OddThemes