New Music Kutoka kwa Mweusi Bonta Maarifa Moja Kati ya Ma Mc Wa Kali tZ .Baada ya Matusi Kuumiza Sana Kitaa Hii ni ngoma mpya Ambayo imepikwa na Q THE DON Producer mkali wa Hip Hop Ambaye Ana Makaziyake mjini Mwanza..Ngoma Inaitwa LETA BADAE
Ambayo Cover Yake Imeguswa Na Kampuni Maarufu ya kutengeneza COVER Viva Arts Presenting