Monday, November 25, 2013
Alichoandika Nash Mc Kuhusu Wasanii wanaobadilika."
Posted by Viva Conscious on 6:35 AM in NASH MC | Comments : 0
NUKUU "msanii anaebadilika badilika kwa maana ya kukosa msimamo kwa sababu ya njaa au pesa,huyu hana tofauti na kiongozi anaeuza rasilimali za nchi kwa wageni na kuumiza mamilioni ya wananchi kwa kuahidiwa kupewa cha juu na wawekezaji! Nitakufa na itikadi zangu kali za hip hop!"
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
Post a Comment