BREAKING NEWS

Download

Monday, November 25, 2013

Alichoandika Nash Mc Kuhusu Wasanii wanaobadilika."


NUKUU "msanii anaebadilika badilika kwa maana ya kukosa msimamo kwa sababu ya njaa au pesa,huyu hana tofauti na kiongozi anaeuza rasilimali za nchi kwa wageni na kuumiza mamilioni ya wananchi kwa kuahidiwa kupewa cha juu na wawekezaji! Nitakufa na itikadi zangu kali za hip hop!"

Share this:

Post a Comment

 
Back To Top
Copyright © 2014 Kato Kumbi. Designed by OddThemes