Baada ya kufanya vizuri na track kama CHAPIA na BARIDA sasa Tash a.k.a
Masai Touzi aja na track mpya ''UNAJIDAI NINI'' produced by RASH
DON/STREET SOUND MUSIC.
Ikiwa wewe ni mtu muhimu na mdau katika tasnia hii ya mziki mzuri naomba support yako katika kuipush nyimbo hii ili tuendelee kukuza mziki wetu wa bongo flava.
Nashukuru kwa ushirikiano wako na MUNGU akubariki.
Asante
Ikiwa wewe ni mtu muhimu na mdau katika tasnia hii ya mziki mzuri naomba support yako katika kuipush nyimbo hii ili tuendelee kukuza mziki wetu wa bongo flava.
Nashukuru kwa ushirikiano wako na MUNGU akubariki.
Asante
Track:Unajidai Nini
Artist:Tash
Prod:Rash Don/Street Sound Music
MULEMULEMUSIQ
Artist:Tash
Prod:Rash Don/Street Sound Music
MULEMULEMUSIQ
Post a Comment