The Swahili Kid Ni Msanii Mpya Wa Muziki Wa HipHop Kutokea Jiji La Rap City-Mwanza
Akiwakilisha Kundi La "Dark EmCeez Connections" Akiwa Kama C.E.O.
The Swahili Kid
Ameamua kutoa double track kwa ajili ya kubless mashabiki wake wa hip hop
waliokuwa wakimsubiri kwa muda mrefu but the boy is back to the game na kwa sasa
anatarajiwa kuachia Mixtape album yake iitwayo "B.B.M (Biggie Brutha Mathematics)
".Wimbo wa kwanza amefanya na Big Trill,Kush Hood,Gigi Na female rapper mkali
kutoka Atlanta Georgia "Rakea Rudegal Buc" ambaye anaonekana kwenye picha hapo
ngoma inaitwa 'Gimme Money"
.DOWNLOAD HAPA
Wimbo wa pili amefanya na kaka mkubwa "P The Mc,big trill&b-52" na ngoma
inaitwa "Nastiest Flows".
DOWNLOAD HAPA
aNategemea kupokelewa vizuri na mashabiki wa hiphop nchini Tanzania na
dunia nzima,Pia nahitaji support toka kwa medias ili nyimbo zake ziweze
fika mbali,pia kama kuna management itatokea kuvutiwa na kazi zake basi
wasiliana kupitia:
Phone Number:0769396376
E-mail:pacthenotorious@yahoo.co.uk,darkemceez@gmail.com
Kurasa yake ya facebook ni:
www.facebook.com/ellpollogeezy
Post a Comment