Msanii kutoka KENYA anayefahamika kama DNA ameshindwa kuelewana na CLEMO wa CALIF RECORDS kutokana na DNA kueleza kua haki zake zinakiukwa kwa matumizi mabaya ya ngoma yake kali ya MASWALI YA POLISI............
DNA
Tayari DNA amekwishaanza kuchukua tataribu za kisheria akishirikiana
na Mamlaka ya Hakimiliki ya Kazi za wasanii nchini Kenya, MCSK
kurekebisha hali hii.
CLEMO WA CALIF RECORDS
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
Post a Comment