BREAKING NEWS

Download

Monday, March 25, 2013

DNA ASHINDWA KUELEWANA NA CLEMO WA CALIF RECORDS KUHUSU KAZI ZAKE

Msanii kutoka KENYA anayefahamika kama DNA ameshindwa kuelewana na CLEMO wa CALIF RECORDS kutokana na DNA kueleza kua haki zake zinakiukwa kwa matumizi mabaya ya ngoma yake kali ya MASWALI YA POLISI............
                                                                        DNA
 Tayari DNA amekwishaanza kuchukua tataribu za kisheria akishirikiana na Mamlaka ya Hakimiliki ya Kazi za wasanii nchini Kenya, MCSK kurekebisha hali hii.
                                                     CLEMO WA CALIF RECORDS

Share this:

Post a Comment

 
Back To Top
Copyright © 2014 Kato Kumbi. Designed by OddThemes