BREAKING NEWS

Download

Tuesday, December 11, 2012

Wanene Entertainment Underground Hip-Hop Mixtape.Kutoka Hivi Karibuni



Wanene Entertainment ambayo ni moja kati ya Record label inayofanya vyema kwenye game la mziki huu wa kizazi kipya hasa kwa kuwakutanisha wasanii mbali mbali kutoka nje na ndani ya Tanzania na Afrika yenye makao yake makuu jijini Arusha, karibuni inampango wa kuachia kanda Mseto  mapema mwakani! Akiongelea hilo Darsh Pandit C.E.O wa Wanene Ent amesema kwamba wanatarajia kuachia kanda mseto hiyo mwezi wa kwanza mwakani (2013) na kwamba  itakuwa na ladha tofauti ambayo haijapata tokea na kwamba anawaamini wasanii wake kwa uwezo walionao na vitu wanavyoweza kufanya muda na wakati wowote ule.... Akiongelea juu ya nani na nani watakuwepo kwenye kanda mseto hiyo Darsh alimtaja mtu mzima Anto'Neyo ama waweza muita The Artist, pia kutoka Arusha Tanzania Gentriez Mwakitabu naye atakuwepo kwenye toleo hilo bila kumsahau Louis Hammock
                                            LOUIS HAMMOCK-BRITISH
                                               GENTRIEZ MWAKITABU-TANZANIAN
                                                     ANTONEYO-AMERICAN

Kuwa Karibu Nao kupitia 
                                             Wanene Page 
                                     Antoneyo The Artist Facebook
                                  Wanene C.E.O Darsh PANDIT Facebook
                                GENTRIEZ Facebook
                                           Louis Hammock Facebook 
                                      OFFICIAL WEBSITE

Share this:

Post a Comment

 
Back To Top
Copyright © 2014 Kato Kumbi. Designed by OddThemes