BREAKING NEWS

Download

Thursday, October 25, 2012

NELLY aongea kuhusu BUS lake

October 11 ilikuwa siku ya nelly ya mawazo kutokana na msafara wake kusimamishwa baada ya bus ambalo alikuwa nalo kwenye msafara wake kushtukiwa kuwa na madawa ya kulevya aina ya heroin zaidi ya pacti 10 pamoja na marijuana vyote hivyo viliwekwa kwenye gari hilo na mmoja kati ya wafanyakazi wake aliye mtaja kwa jina Brian Keith Jones na alikamatwa na mwisho nelly kuandika maelezo baadaye na kuendelea na safari. Siku ya jana aliongea na kusema kuwa kiukweli amejikuta kwenye wakati mgumu sana baada ya kuona kila mtu anataka kujua kupita mimi kwamba ilikuaje na je why sikukagua gari ila kuanzia sasa nimejifunza na ntakuwa makini na wafanya kazi wangu ilikuweka hali ya kutoonekana mwalifu kwa watu na mashabiki wangu.

Share this:

Post a Comment

 
Back To Top
Copyright © 2014 Kato Kumbi. Designed by OddThemes