BREAKING NEWS

Download

Friday, October 5, 2012

Mfahamu Msaniii CHipukizi Kutoka Tanzania Anaefanya sweet Reggae nzuri anaeishi Sweeden

Kwa Jina anaitwa Orinta. Lovely Ni Mwanafunzi ila kilichonifanya kumwandika humu ni kutokana na umahiri wa tungo za nyimbo zake na uwezo wake wa sauti kufika mahala pa kutambulika kama msanii mpya wa Sweet reggae Flava... Bonafsi nimepta kusikilizza Kibao chake Kipya alichofanya Tatoo record hapa Dar-es-salaam na Ni Kipaji cha aina Yake .. jE unataka kufahamu alianza lini music, Na nini Kilichomsukuma kufanya music Kesho usikose.... http://vivaconscious.blogspot.com/2012/08/brand-new-track-orinta-nilijua.html

Share this:

Post a Comment

 
Back To Top
Copyright © 2014 Kato Kumbi. Designed by OddThemes