Friday, October 5, 2012
Mfahamu Msaniii CHipukizi Kutoka Tanzania Anaefanya sweet Reggae nzuri anaeishi Sweeden
Posted by Viva Conscious on 5:28 AM in | Comments : 0
Kwa Jina anaitwa Orinta. Lovely Ni Mwanafunzi ila kilichonifanya kumwandika humu ni kutokana na umahiri wa tungo za nyimbo zake na uwezo wake wa sauti kufika mahala pa kutambulika kama msanii mpya wa Sweet reggae Flava... Bonafsi nimepta kusikilizza Kibao chake Kipya alichofanya Tatoo record hapa Dar-es-salaam na Ni Kipaji cha aina Yake .. jE unataka kufahamu alianza lini music, Na nini Kilichomsukuma kufanya music
Kesho usikose....
http://vivaconscious.blogspot.com/2012/08/brand-new-track-orinta-nilijua.html
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
Post a Comment