BREAKING NEWS

Download

Monday, October 15, 2012

Kitabu Cha Chuo Kikuu cha Hip Hop Ndani ya DODOMA

Katika Mwendelezo wa Tour yake Nchini ..Tamaduni Muziki Ambayo inaundwa na Mcs Wengi wnye uwezo kama Malle ., Songa , Nash Mcee, One The Incredible, Stereo , Young Killer, Azma , Na WENGINEO .Tarehe 20 mwezi Huu wa Kumi watakuwepo Pale NK CLUB....Sambamba Na Bidhaa zao Namaanisha Santuri zao, Fulana zao na Kanda mseto KubwA Zaidi ni ujio wa Kitabu cha CHUO KIKUU CHA HIP HOP Kilichoandikwa na Malle Marxist ..Ambacho kitakua kinauzwa kwa tsh 7000 SO MSIKOSE... SIKU HIYO... mpate tumbuizo murua kutoka tamadunimuzik KEEP IT UP FOR HIP HOP

Share this:

Post a Comment

 
Back To Top
Copyright © 2014 Kato Kumbi. Designed by OddThemes