Karibu kwenye Blogu maarufu Duniani Maalumu kwa Ajili Ya
Burudani Hususani Muziki wa Hip Hop Na Kidogo Muziki wa Bongo Flava
.Blog Hii Inamilikiwa na JOSEPH STEPHEN MAHUMI .Moja kati ya Ma Blogger Maarufu sana AFRICA .Imeanza
kufanya kazi Miaka Mitatu iliyopita.Ikiwa Ikifanya Vizuri na Kupata Mafanikio
Mengi Ndani yake.Pamoja na Kutoa Mchango Katika Tasnia ya Muziki Wa Kizazi
Kipya.
Blogu Hii Ina Viongozi Wawili.Ikifanya kazi na Assistant
Manager NURUELY MOSHI
Mbali na Kufanya Matangazo kwa upande wa Muziki, Tuna
shughulika na Ku design Mionekano ya Websites , Blogu ,Na Kadhalika
Kusimamia Mwanamuziki
Kupitia Mitandao ya Kijamii ,
Kufungua na Kuendesha
Blogu yeyote kwa Bei Rahisi
Kusimamia Promotion
ya Matangazo Mitandaoni
Kusambaza Nyimbo
Kupitia Mitandao ya Kijamii
Haya Yote ni Kwa BEI Rahisi .
TUWASILIANE KWA
ANUANI ZIFUATAZO
Email...Joseph-stephen@live.com
Facebook : www.facebook.com/josephviva
Twitter : www.twitter.com/vivaconscious
Reverbnation : www.reverbnation.com/label/Josephviva
ama Nambari za Simu +255713259377


bnimekuelewa mzazi
ReplyDeleteSana Sana Mzazi
ReplyDeleteimetulia
ReplyDeleteKaribia kwa mawasiliano
ReplyDelete